Thursday, 12 March 2015

MAISHA YA VIJANA WA TABORA YATEGEMEA USAFIRISHAJI ABIRIA KWA BAISKELI


 

 Vijana wengi wazidi kujikita katika usafirishaji wa Abiria kwa njia ya Baiskeli mkoani Tabora jambo ambalo linapelekea kuongezeka kwa ajali za barabarani.Ni vema kwa ngazi husika za usalama barabarani zione umhimu wa kutoa elimu waendesha baiskeli hawa ili kunusuru maisha ya watumiaji wa vyombo hivi. Ni kweli tunatambua wazi kuwepo kwa wimbi la ukosefu wa ajira lakini madhara yake ni makubwa kwa taifa kwa kupoteza nguvu kazi ya taifa kwa ajali nyigi.By kimena Nuhu